Font Size
2 Timotheo 2:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
2 Timotheo 2:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Kama tukivumilia, tutatawala pamoja naye pia; kama tukimkana, naye pia atatukana. 13 Tusipo kuwa waaminifu, yeye huendelea kuwa mwaminifu kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Mfanyakazi Mwenye Kibali Mbele Za Mungu
14 Wakumbushe mambo haya na uwaamuru mbele za Bwana waache kubishana juu ya maneno. Hii haiwasaidii cho chote bali huwaanga miza wanaowasikiliza.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica